1 Fal. 8:63 Swahili Union Version (SUV)

Sulemani akatoa sadaka za amani, alizomtolea BWANA, ng’ombe ishirini na mbili elfu, na kondoo mia na ishirini elfu. Ndivyo mfalme na wana wa Israeli wote walivyoifanya wakfu nyumba ya BWANA.

1 Fal. 8

1 Fal. 8:54-65