1 Fal. 8:46 Swahili Union Version (SUV)

Ikiwa wamekutenda dhambi, (maana hakuna mtu asiyetenda dhambi), hata ukawaghadhibikia, ukawatia katika mikono ya adui zao, wawachukue mateka mpaka nchi ya adui zao, iliyo mbali au iliyo karibu;

1 Fal. 8

1 Fal. 8:41-55