1 Fal. 7:9 Swahili Union Version (SUV)

Hizi zote zilikuwa za mawe ya thamani, mawe ya kuchongwa, sawasawa na cheo, yaliyokatwa kwa misumeno, ndani na nje, tangu msingi hata mawe ya juu, na nje vile vile hata behewa kuu.

1 Fal. 7

1 Fal. 7:7-13