1 Fal. 7:12 Swahili Union Version (SUV)

Na behewa kubwa pande zote ilikuwa na safu tatu za mawe ya kuchongwa, na safu moja ya mihimili ya mierezi; mfano wa behewa ya ndani ya nyumba ya BWANA, na ukumbi wa nyumba.

1 Fal. 7

1 Fal. 7:10-20