1 Fal. 6:32 Swahili Union Version (SUV)

Hivyo akafanya milango miwili ya mzeituni; akanakshi juu yake nakshi za makerubi, na mitende, na maua yaliyofunuka wazi, akaifunika kwa dhahabu; akatia dhahabu juu ya makerubi, na juu ya mitende.

1 Fal. 6

1 Fal. 6:28-38