1 Fal. 6:2 Swahili Union Version (SUV)

Nayo nyumba hiyo mfalme Sulemani aliyomjengea BWANA, urefu wake ulikuwa mikono sitini, na upana wake ishirini, na kwenda juu kwake mikono thelathini.

1 Fal. 6

1 Fal. 6:1-9