1 Fal. 5:14 Swahili Union Version (SUV)

Akawatuma Lebanoni kwa mwezi, elfu kumi kwa zamu. Mwezi mmoja walikuwako huko Lebanoni, na miezi miwili wakawako kwao. Na Adoramu alikuwa juu ya shokoa.

1 Fal. 5

1 Fal. 5:5-18