1 Fal. 4:7 Swahili Union Version (SUV)

Sulemani alikuwa na maakida kumi na wawili juu ya Israeli wote, walioleta chakula cha mfalme na nyumba yake; kila mtu alikuwa na mwezi mmoja katika mwaka kuleta chakula.

1 Fal. 4

1 Fal. 4:1-11