1 Fal. 3:9 Swahili Union Version (SUV)

Kwa hiyo nipe mimi mtumwa wako moyo wa adili niwahukumu watu wako, na kupambanua mema na mabaya; maana ni nani awezaye kuwahukumu hawa watu wako walio wengi?

1 Fal. 3

1 Fal. 3:4-15