1 Fal. 3:4 Swahili Union Version (SUV)

Basi mfalme akaenda Gibeoni, ili atoe dhabihu huko; kwa kuwa ndipo mahali pa juu palipo pakuu. Sulemani akatoa sadaka elfu za kuteketezwa juu ya madhabahu ile.

1 Fal. 3

1 Fal. 3:1-5