1 Fal. 22:52 Swahili Union Version (SUV)

Akafanya yaliyo mabaya machoni pa BWANA, akaiendea njia ya babaye, na njia ya mamaye, na njia ya Yeroboamu mwana wa Nebati, aliyewakosesha Israeli.

1 Fal. 22

1 Fal. 22:42-53