1 Fal. 22:48 Swahili Union Version (SUV)

Yehoshafati akafanya merikebu za Tarshishi ziende Ofiri kuchukua dhahabu; walakini hazikuenda; kwa maana merikebu zilivunjika huko Esion-geberi.

1 Fal. 22

1 Fal. 22:43-53