1 Fal. 22:19 Swahili Union Version (SUV)

Mikaya akasema, Sikia basi neno la BWANA; Nalimwona BWANA ameketi katika kiti chake cha enzi, na jeshi lote la mbinguni wamesimama upande wa mkono wake wa kuume na wa kushoto.

1 Fal. 22

1 Fal. 22:18-22