1 Fal. 22:12 Swahili Union Version (SUV)

Na manabii wote wakasema hivyo kwa unabii, wakisema, Kwea Ramoth-Gileadi, ukafanikiwe; kwa kuwa BWANA atautia mkononi mwa mfalme.

1 Fal. 22

1 Fal. 22:3-21