1 Fal. 20:5 Swahili Union Version (SUV)

Wajumbe wakarudi tena, wakasema, Ndivyo asemavyo Ben-hadadi, Hakika nimetuma kwako kusema, Fedha yako, na dhahabu yako, na wake zako, na wanao, utanitolea mimi;

1 Fal. 20

1 Fal. 20:1-11