1 Fal. 20:27 Swahili Union Version (SUV)

Wana wa Israeli nao wakahesabiwa, wakapewa vyakula, wakaenda kupigana nao; wakatua wana wa Israeli mbele yao kama vikundi viwili vya wana-mbuzi; bali Washami wakaijaza nchi.

1 Fal. 20

1 Fal. 20:26-33