1 Fal. 20:25 Swahili Union Version (SUV)

Kisha ujihesabie jeshi, kama jeshi lililokupotea, farasi kwa farasi na gari kwa gari; nasi tutapigana nao katika nchi tambarare, na bila shaka tutawashinda. Akaisikiliza sauti yao, akafanya kama hivyo.

1 Fal. 20

1 Fal. 20:15-27