1 Fal. 2:31 Swahili Union Version (SUV)

Mfalme akamwambia, Fanya alivyonena, umpige, ukamzike; ili uniondolee mimi na nyumba ya babangu damu aliyoimwaga Yoabu bure.

1 Fal. 2

1 Fal. 2:21-37