1 Fal. 2:28 Swahili Union Version (SUV)

Tena, habari zikamfikia Yoabu; kwa maana Yoabu alikuwa amemfuata Adonia, ingawa hakumfuata Absalomu. Yoabu akakimbilia Hemani kwa BWANA, akazishika pembe za madhabahu.

1 Fal. 2

1 Fal. 2:23-32