1 Fal. 18:7 Swahili Union Version (SUV)

Na Obadia alipokuwa njiani, kumbe! Eliya akakutana naye. Akamtambua, akaanguka kifudifudi, akanena, Je! Ni wewe, bwana wangu Eliya?

1 Fal. 18

1 Fal. 18:1-15