1 Fal. 18:43 Swahili Union Version (SUV)

Akamwambia mtumishi wake, Kwea sasa, utazame upande wa bahari. Akakwea, akatazama, na kusema, Hakuna kitu. Naye akanena, Enenda tena mara saba.

1 Fal. 18

1 Fal. 18:36-44