1 Fal. 18:40 Swahili Union Version (SUV)

Eliya akawaambia, Wakamateni hao manabii wa Baali, asiokoke hata mmoja. Wakawakamata; na Eliya akawachukua mpaka kijito cha Kishoni, akawaua huko.

1 Fal. 18

1 Fal. 18:32-46