1 Fal. 18:38 Swahili Union Version (SUV)

Ndipo moto wa BWANA ukashuka, ukaiteketeza sadaka ya kuteketezwa, na kuni, na mawe, na mavumbi, ukayaramba yale maji yaliyokuwamo katika mfereji.

1 Fal. 18

1 Fal. 18:33-46