1 Fal. 18:33 Swahili Union Version (SUV)

Kisha akazipanga zile kuni, akamkata yule ng’ombe vipande vipande, akaviweka juu ya kuni. Akasema, Jazeni mapipa manne maji, mkayamwage juu ya sadaka ya kuteketezwa, na juu ya kuni.

1 Fal. 18

1 Fal. 18:25-42