1 Fal. 18:31 Swahili Union Version (SUV)

Eliya akatwaa mawe kumi na mawili, kwa hesabu ya kabila za wana wa Yakobo, aliyejiliwa na neno la BWANA na kuambiwa, Jina lako litakuwa Israeli.

1 Fal. 18

1 Fal. 18:24-37