1 Fal. 18:1 Swahili Union Version (SUV)

Ikawa baada ya siku nyingi, neno la BWANA likamjia Eliya, katika mwaka wa tatu, kusema, Enenda, ukajionyeshe kwa Ahabu; nami nitaleta mvua juu ya nchi.

1 Fal. 18

1 Fal. 18:1-5