1 Fal. 16:24 Swahili Union Version (SUV)

Kisha akanunua kilima cha Samaria kwa Shemeri kwa talanta mbili za fedha; akajenga juu ya kilima kile, akauita mji alioujenga Samaria, kwa kuliandama jina lake Shemeri, aliyekuwa mwenye kilima.

1 Fal. 16

1 Fal. 16:19-31