1 Fal. 16:13 Swahili Union Version (SUV)

kwa sababu ya makosa yake Baasha, na makosa yote ya Ela mwanawe, waliyoyakosa, na kuwakosesha Israeli, wakimghadhibisha BWANA, Mungu wa Israeli, kwa matendo yao ya ubatili.

1 Fal. 16

1 Fal. 16:3-15