1 Fal. 16:11 Swahili Union Version (SUV)

Ikawa, alipoanza kutawala, mara alipoketi juu ya kiti chake cha enzi, akawaua nyumba yote ya Baasha; hakumwachia mwanamume ye yote, wa jamaa zake, wala wa rafiki zake.

1 Fal. 16

1 Fal. 16:9-13