1 Fal. 14:31 Swahili Union Version (SUV)

Rehoboamu akalala na babaze, akazikwa pamoja na babaze mjini mwa Daudi. Na jina la mamaye aliitwa Naama, Mwamoni. Na mwanawe, Abiya, alitawala mahali pake.

1 Fal. 14

1 Fal. 14:21-31