1 Fal. 13:31 Swahili Union Version (SUV)

Hata ikawa, alipokwisha kumzika, akawaambia wanawe, akasema, Nikifa mimi, nizikeni katika kaburi hili alimozikwa yule mtu wa Mungu; iwekeni mifupa yangu kando ya mifupa yake.

1 Fal. 13

1 Fal. 13:25-34