1 Fal. 13:29 Swahili Union Version (SUV)

Nabii yule akamtwaa maiti wa yule mtu wa Mungu, akamweka juu ya punda wake, akamrudisha; yule nabii mzee akaenda mjini mwake, kukaa matanga, na kumzika.

1 Fal. 13

1 Fal. 13:21-34