1 Fal. 11:26 Swahili Union Version (SUV)

Na Yeroboamu wa Nebati, Mwefraimu wa Sereda, mtumwa wake Sulemani; ambaye jina lake mamaye aliitwa Serua, mwanamke aliyefiwa na mumewe; yeye naye akainua mkono wake juu ya mfalme.

1 Fal. 11

1 Fal. 11:16-28