1 Fal. 11:18 Swahili Union Version (SUV)

Wakaondoka katika Midiani, wakafika Parani; wakachukua pamoja nao watu toka Parani, wakafika Misri, kwa Farao mfalme wa Misri; aliyempa nyumba, akamwamria vyakula, akampa mashamba.

1 Fal. 11

1 Fal. 11:9-20