1 Fal. 1:9 Swahili Union Version (SUV)

Adonia akachinja kondoo, na ng’ombe, na vinono, karibu na jiwe la Zohelethi, lililo karibu na chemchemi Rogeli; akawaita ndugu zake wote, wana wa mfalme, na watu wote wa Yuda, watumishi wa mfalme;

1 Fal. 1

1 Fal. 1:1-17