1 Fal. 1:5 Swahili Union Version (SUV)

Ndipo Adonia mwana wa Hagithi akatakabari, akasema, Mimi nitakuwa mfalme. Akajiwekea tayari magari na wapanda farasi, na watu hamsini wapige mbio mbele yake.

1 Fal. 1

1 Fal. 1:3-14