1 Fal. 1:39 Swahili Union Version (SUV)

Na Sadoki, kuhani, akatwaa ile pembe ya mafuta katika Hema, akamtia Sulemani mafuta. Nao wakapiga panda; na watu wote wakasema, Mfalme Sulemani na aishi!

1 Fal. 1

1 Fal. 1:29-48