1 Fal. 1:30 Swahili Union Version (SUV)

hakika yake nitafanya leo kama vile nilivyokuapia kwa BWANA, Mungu wa Israeli, nikasema, Kwa yakini Sulemani mwanao atamiliki baada yangu, naye ndiye atakayeketi katika kiti changu cha enzi badala yangu.

1 Fal. 1

1 Fal. 1:20-31