1 Fal. 1:24 Swahili Union Version (SUV)

Nathani akasema, Ee mfalme, bwana wangu, je! Wewe umesema ya kwamba, Adonia atamiliki baada yangu, ndiye atakayeketi katika kiti changu cha enzi?

1 Fal. 1

1 Fal. 1:20-30