1 Fal. 1:19 Swahili Union Version (SUV)

Tena amechinja ng’ombe, na vinono, na kondoo tele, na kuwaita wana wa mfalme wote pia, na Abiathari, kuhani, na Yoabu, jemadari wa jeshi. Ila Sulemani, mtumishi wako, huyu hakumwita.

1 Fal. 1

1 Fal. 1:17-27