Zekaria 14:18 Biblia Habari Njema (BHN)

Iwapo Wamisri watakataa kuiadhimisha sikukuu ya vibanda, basi, Mwenyezi-Mungu atawapiga kwa ugonjwa uleule atakaowapiga nao mataifa yote yanayokataa kuiadhimisha sikukuu hiyo.

Zekaria 14

Zekaria 14:11-21