Zekaria 11:1-3 Biblia Habari Njema (BHN)

1. Fungua milango yako, ewe Lebanoniili moto uiteketeze mierezi yako!

2. Ombolezeni, enyi misunobari,kwa kuwa mierezi imeteketea.Miti hiyo mitukufu imeharibiwa!Enyi mialoni ya Bashani, ombolezeni,kwa kuwa msitu mnene umekatwa!

3. Sikia maombolezo ya watawala!Fahari yao imeharibiwa!Sikia ngurumo za simba!Pori la mto Yordani limeharibiwa!

Zekaria 11