Zekaria 1:8 Biblia Habari Njema (BHN)

Wakati wa usiku, nilimwona malaika amepanda farasi mwekundu. Malaika huyo alikuwa amesimama bondeni, katikati ya miti ya mihadasi. Nyuma yake kulikuwa na farasi wengine wekundu, wa kijivujivu na weupe.

Zekaria 1

Zekaria 1:5-15