Zaburi 42:4 Biblia Habari Njema (BHN)

Nakumbuka tena mambo hayakwa majonzi moyoni mwangu:Jinsi nilivyokwenda na umati wa watu,nikawaongoza kwenda nyumbani kwa Munguwakipiga vigelegele vya shukrani;umati wa watu wakifanya sherehe!

Zaburi 42

Zaburi 42:1-7