Zaburi 35:1-3 Biblia Habari Njema (BHN)

1. Ee Mwenyezi-Mungu, uwapinge hao wanaonipinga;uwashambulie hao wanaonishambulia.

2. Utwae ngao yako na kingio lako,uinuke uje ukanisaidie!

3. Chukua mkuki na sime yako dhidi ya wanaonifuatia.Niambie mimi kwamba utaniokoa.

Zaburi 35