Zaburi 33:1-3 Biblia Habari Njema (BHN)

1. Shangilieni kwa sababu ya Mwenyezi-Mungu enyi waadilifu!Kumsifu Mungu ni wajibu wa watu wanyofu.

2. Msifuni Mwenyezi-Mungu kwa zeze;mwimbieni kwa kinubi cha nyuzi kumi.

3. Mwimbieni wimbo mpya;pigeni kinubi vizuri na kushangilia.

Zaburi 33