Zaburi 30:1-2 Biblia Habari Njema (BHN)

1. Ee Mwenyezi-Mungu, nakutukuza maana umeniokoa,wala hukuwaacha maadui zangu wanisimange.

2. Ee Mwenyezi-Mungu, Mungu wangu,nilikulilia msaada, nawe ukaniponya.

Zaburi 30