Zaburi 26:10-12 Biblia Habari Njema (BHN)

10. watu ambao matendo yao ni maovu daima,watu ambao wamejaa rushwa.

11. Lakini mimi ninaishi kwa unyofu;unihurumie na kunikomboa.

12. Mimi nimesimama mahali palipo imara;nitamsifu Mwenyezi-Mungu katika kusanyiko kubwa.

Zaburi 26