Zaburi 22:30-31 Biblia Habari Njema (BHN)

30. Vizazi vijavyo vitamtumikia;watu watavisimulia habari za Mwenyezi-Mungu,

31. watatangaza matendo yake ya wokovu.Watu wasiozaliwa bado wataambiwa:“Mwenyezi-Mungu ndiye aliyefanya hayo!”

Zaburi 22