Zaburi 22:1-3 Biblia Habari Njema (BHN)

1. Mungu wangu, Mungu wangu, mbona umeniacha?Mbona uko mbali sana kunisaidia,mbali na maneno ya kilio changu?

2. Ee Mungu wangu, nalia mchana lakini hujibu;napiga yowe usiku, lakini nafuu sipati.

3. Hata hivyo, wewe ni mtakatifu;wewe watawala na kusifiwa na Waisraeli.

Zaburi 22